.

.

Wednesday, September 30, 2009

Ndoa kuota mbawa!


Ndoa ya mwanadada Kylie Minogue huenda ikaota mbawa kabla ya kuolewa baada ya mchumba wake ambaye ni mdogo kiumri kughairi mambo ya kufunga ndoa.
Mchumba huyo alipokuwa akiongelea mambo ya chumbani alimsifia sana Minogue lakini alisema kuwa kwa sasa hana mpango wa kuoa kwani bado ana mambo mengi ya kufanya,lakini anampenda sana mpenzi huyo na anaimani huenda wakapata baby mzuri sana kutokana na sura zao siku watakayoamua kuzaa...

No comments:

Post a Comment