.

.

Friday, September 11, 2009

Mwana hufuata nyayo za wazazi!




Mambo haya bwana huanzia utotoni, unaweza kukaa ukajiuliza hivi mwanangu mtundu kumbe kile unachofanya mzazi naye anajifunza toka mdogo, kwa wenzetu wazungu hapa ndio mwanya wa kumjua mtoto ana kipaji gani na kumfatilia kwa karibu kwa sisi watanzania hatuna muda na watoto wetu kwa baadhi ya wazazi..ndio maana mwisho wao wengine huishia pabaya lakini endapo mtoto utajua ana kipaji gani na kumuendeleza aisee utashangaa..
wazazi jaribuni kukaa na watoto mtajua tu na kuwajengea maisha bora kwa kufata hisia na muelekeo wao tokea uchanga wao.

No comments:

Post a Comment