.

.

Friday, September 11, 2009

Hii ni kufuru





Jamani hii si ni kufuru kwa watanzania ukifanya pati hii kabla hujapata mtoto wenye imani zao husema ya kwao lakini kwa wenzetu ni vitu vya kawaida na mungu huwanyooshea maisha na kuwa kama yalivyopangwa.
Hapa mwanadada Kendra ameandaliwa pati wenyewe wanaiita 'Baby Shower paty' hii ni pati kabla ya kujifungua ambayo waliyoilenga ni kukusanya vitu vya mtoto bila kuacha hata nukta kwa maana hiyo ni mazagazaga kibao...
Tanzania huenda ikaingia hii, je wataichukulia vip? mimi na wewe hatujui lakini wengi utasikia si kufuru hii wenye imani zao sasa..
mimi nimeipenda hiyo huenda nikamfanyia Roby Chacha ambaye anatarajia kupata kibebi siku za usoni..Nakuombea rafiki yangu ujifungue salama.

No comments:

Post a Comment