.

.

Thursday, August 12, 2010

tunaendelea kujidai

Baada ya kurudi home mwanangu huwa ananikimbilia kuni hugh kama hivi siku hiyo nilijisikia kumpiga picha

Nimerudi jamani nilikuwa kando kidogo

Kama kawa tunajidai na mwanangu, jamani msituchoke hatuna albamu hii ndio albamu yetu
my Baby Mzuri katika pozi
Mimi na Baby wangu nikitoka kazini huwa anakuja kudeka kidogo kama mnavyomuona
Hapa nilikuwa Club Bilicanasi kwenye ukumbi wa Much More nilipoalikwa MTVBASE