
Kama kawa tunajidai na mwanangu, jamani msituchoke hatuna albamu hii ndio albamu yetu

my Baby Mzuri katika pozi

Mimi na Baby wangu nikitoka kazini huwa anakuja kudeka kidogo kama mnavyomuona

Hapa nilikuwa Club Bilicanasi kwenye ukumbi wa Much More nilipoalikwa MTVBASE
naamini unapenda kujifunza vitu mbalimbali ndio mana unablog basi jaribu kuangalia neno linaandikwaje ndio uwe unaandiha kama hug umeandika hugh,au bilicanas umeandika bilicanasi sasa unaua maana ya neno na inakuwa ngumu mtu kuelewa unachotaka sema.good job
ReplyDelete