.

.

Friday, February 19, 2016

Mask ya boga kwa wenye chunusi

Nilishaandika sana urembo unaohusu chunusi lakini kila kukicha napata ujumbe unaotaka kujua tiba ya chunusi, leo nakuletea maski ya boga ambayo ni nzuri kwa kutibu chunusi.
 Chukua boga lipike liive kisha chukua kikijiko kimoja  1 cha boga
  Kijiko kimoja cha asali 1
Robo kijiko cha mdarasini

JINSI YA KUFANYA
 Chukua kila kipimo weka kwenye kibakuli kisha changanya kwa pamoja upate mkorogo mmoja.
Baada ya hapo paka kwenye uso taratibu mpaka usambae uso mzima.
Acha kwa muda wa dakika 5 kisha osha na maji ya vuguvugu.

Kumbuka: Kama ngozi yako ina alegi yoyote usitumie, kama ngozi yako ni ya kawaida tumia maski hii Itakusaidia kuondoa chunusi na kukufanya utelezee.

Thursday, August 12, 2010

tunaendelea kujidai

Baada ya kurudi home mwanangu huwa ananikimbilia kuni hugh kama hivi siku hiyo nilijisikia kumpiga picha

Nimerudi jamani nilikuwa kando kidogo

Kama kawa tunajidai na mwanangu, jamani msituchoke hatuna albamu hii ndio albamu yetu
my Baby Mzuri katika pozi
Mimi na Baby wangu nikitoka kazini huwa anakuja kudeka kidogo kama mnavyomuona
Hapa nilikuwa Club Bilicanasi kwenye ukumbi wa Much More nilipoalikwa MTVBASE

Wednesday, July 28, 2010

Nikaalikwa kichen Paty na Dotnatha

Dot akiwa na furaha pamoja na wasanii wake waliomuunga mkono
maswahiba wawili, Mona na Thea
Hapa wanachama wenzake wanamzawadia
Sisterdoi na Mdogo wangu Achi tuliongozana mpaka kunako sherehe hiyo
Hapa nikiwa na mdogo wangu Lulu
Mama na mwana nao walikuwepo
Baada ya zawadi wanachama wakaendelea kujimwaga

Siku ya Production Jumanne

Sister Doi na Graphic Di signer wa Gazeti ninalofanyia kazi Nasra Nasoro, nyuma yetu ni kaka Mchele akipita kukagua gazeti kwa ajili ya kuandaa oda, siku hii huwa ni ngumu kwangu kwani nakuwa bize kinoma, hata simu huwa sipendi kupokea kwakweli nakuwa siriasi kwenye kazi
Mpiga picha wetu Walter Maleko aliamua kutufotoa mimi na Nasra tukiwa mbioni kumalizia kazi

Wednesday, July 21, 2010

Mimi na mwanangu tulipokutana baada ya miezi kadhaa alipokuwa kwa bibi yake

Hapa mzuri akimnongoneza jambo wake Hamidu a.k.a Papaa
Mzuri na mama yake wakiwa happy, pozi la maana hilo nawe chukua
Mzuri katika pozi, mh haya ni mapozi ya mama yake si mchezo
Hapa ameona avae kiremba cha mama yake
Alikuwa akivua viatu ili akae vizuri kwenye kiti
Hapa mzuri akiwa na mama yake, katika pozi la picha

Friday, July 2, 2010

Friend of mine Baba Ally akiwa kazini

Huyu ni Amran Kaima a.k.a Baba Ally akiwa kazini, hapa anasikiliza Cd ya ushahidi wa Habari, ukitaka kumjua zaidi gonga kwenye Blog yake inaitwa Zekaima.blogspot.com

Usafi Day in the ofisi..Global Publishers

Lea Kweka naye alikuwa akisafisha vioo kama tunavyomuona
Wadada tuliamua kufanya usafi wa jumla siku hii ya Ijumaa, Hawa ni Edna, Abby na Groly
Sister Doi nikisafisha meza na Dada Grace pembeni yangu
Naila naye alikuwa akisafisha kama tunavyomuona

Hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya Dada Dotnatha na Ant Latifa na Sharom

Align Center Sharom akijiimbia siku ya kuzaliwa kwake
Da Jen naye alikuwepo
Eva katika pozi naye alishiriki
Natasha akilishwa keki na Dotnatha
Hapa waliozaliwa siku hiyo wote wanakata keki
Na hii nayo ni ya kukata keki
Hapa wakilishana Keki aliyeshika Uma ni Anti Latifa na aliyemeza ni Dotnatha
Ant Latifa Katika pozi
Mama Sofia Bariagati katika pozi naye alikuwepo
Monalisa naye alikuwepo
Sister Doi nilikuwepo kama kawa, hapa alikuwa akilishwa keki mama Sharom, Shamim

Saturday, June 19, 2010

LILY WA MAMBO HAYO ALIPOMFANYIA MWANAYE SHEREHE YA KUZALIWA

Rafiki yangu Shamim naye alikuwepo katika sherehe hiyo
Sister Doi nikilishwa keki ilikuwa tamu kinoma
Hapa akikata keki
Hapa Rahimu anamlisha mama yake keki
Mama anamshukuru kwa kumpa busu zito
Keki hii ilikuwa tamu kwani nami niliionja
Hapa wakiwa katika pozi la furaha