.

.

Wednesday, September 30, 2009

Emma na Nkenna nusura watwangane!



Mshiriki wa Nigeria Nkenna na Mshiriki kutoka Angola nusura watwangane baada ya kufokeana wakiwa jikoni chanzo kikitajwa kuwa ni suala la usafi uliokuwa unatakiwa kufanyika katika chumba chao cha kulala.

Washiriki hao walionekana wakipandishiana na kufikia hatua ya kutaka kukunjana huku kila mmoja akimtolea mwenzake maneno machafu, hali iliyosababisha kukosekana kwa utulivu kwa sekunde kadhaa.

Hata hivyo, baadae mzuka wa wawili hao ulipungua na kuendelea kuwajibika kama kawaida.

No comments:

Post a Comment