.

.

Wednesday, September 30, 2009

Eti Hannington ananuka kikwapa!


Kuna sababu nyingi zinaweza kumtoa mshiriki katika mpambano huu lakini hili la mshirikiti kutoka Uganda, Hannington kudaiwa kuwa anatema harumu mbaya kutoka mwilini mwake, huenda likamkoseha kabisa matumaini ya kundelea kuwa katika mjengo huo.

Washiriki wenzake wamekuwa wakimtuhumu mshikaji huyo kunuka kikwapa na wengine kufikia hatua ya kumshitakia kwa Big Brother pale walipoitwa katika diary room.

Hata hiyo haijaweza kufahamika mara moja kama harufu hiyo mbaya inaokana na kutokuwa msafi ama ni ugonjwa kwani wapo wanaosumbuliwa na tatizo hilo hata kama watakuwa wakioga kila baada ya muda mfupi. Je, atatafutiwa dawa?Tuisubiri tuone.

No comments:

Post a Comment