.

.

Saturday, May 1, 2010

Hii ilikuwa ni send off nitawaletea kitchen paty msichoke

Shangazi maria naye alikuwepo kusherehekea na Jose
Jamali na mke wake walikuwepo kama mnavyowaona
siku hiyo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Amani na mchumba wa Jose alikuwa azaliwe siku inayofuata wakakata keki kwa pamoja, hapa wanalishana keki, ilikuwa ni furaha tupu
Madada zake Jose,Mgeni,Jovita,Koku,Jovina,Joyce, Sima na wengine wakiserebuka baada ya kutoa zawadi, walifurahi sana siku hiyo
Hapa madada wakimkumbatia kwa furaha mdogo wao Jose
Madada wakienda kumpongeza mdogo wao kama tunavyowaona
Hapa sister Doi nikiwa na kampani yangu ya siku hiyo, Mwanangu Furaha na mdogo wangu Lily
Hapa nikiwa na mwanangu Furaha
Madada wakiwa katika pozi, Jovita na Mgeni kama kawa
Keki ilikuwa ni ya asili na ilikuwa tamu ajabu
Joice na mumewe katika pozi
Madada walifurahi na mwisho wakajikuta wakilia kwa uchungu baada ya kuwakumbuka wazazi wao ambao mungu aliwatanguliza mbele ya haki...Mungu awalaze pema peponi amina. Baada ya hapo majonzi yalikaa pembeni na sherehe ikaendelea kama kawa, madada hao ni Jovita mbele, Joice anayefuata na Sima.

No comments:

Post a Comment