
Shangazi maria naye alikuwepo kusherehekea na Jose

Jamali na mke wake walikuwepo kama mnavyowaona

siku hiyo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Amani na mchumba wa Jose alikuwa azaliwe siku inayofuata wakakata keki kwa pamoja, hapa wanalishana keki, ilikuwa ni furaha tupu

Madada zake Jose,Mgeni,Jovita,Koku,Jovina,Joyce, Sima na wengine wakiserebuka baada ya kutoa zawadi, walifurahi sana siku hiyo

Hapa madada wakimkumbatia kwa furaha mdogo wao Jose

Madada wakienda kumpongeza mdogo wao kama tunavyowaona

Hapa sister Doi nikiwa na kampani yangu ya siku hiyo, Mwanangu Furaha na mdogo wangu Lily

Hapa nikiwa na mwanangu Furaha

Madada wakiwa katika pozi, Jovita na Mgeni kama kawa

Keki ilikuwa ni ya asili na ilikuwa tamu ajabu

Joice na mumewe katika pozi

Madada walifurahi na mwisho wakajikuta wakilia kwa uchungu baada ya kuwakumbuka wazazi wao ambao mungu aliwatanguliza mbele ya haki...Mungu awalaze pema peponi amina. Baada ya hapo majonzi yalikaa pembeni na sherehe ikaendelea kama kawa, madada hao ni Jovita mbele, Joice anayefuata na Sima.
No comments:
Post a Comment