.

.

Saturday, May 1, 2010

Jamani hapa duniani kila Mtu anaye Shost!

Huyu ni Shost wangu kwa kizungu 'Lol' anaitwa Shalom nampenda sana naye ananipenda, wengi wanao mashost saiz yao lakini mimi shost wangu ni huyu na tunaelewana sana tu! afu tumefanana emu angalia picha yangu ya udogo utanambia
Hapa nilikuwa studio mwaka 2002 nilipomaliza chuo cha uandishi na utangazaji..lakini nilinogewa na kuandika, napenda sana fani yangu wadau mpaka mwenyewe najiogopa
Hapa ni enzi za mwalimu, mimi na mama yangu na Pacha wangu Hamidu tukiwa na mdogo wetu Jamila.
Hapa nilikuwa nimenganda mama yangu kama Luba na mdogo wangu Jamila pembeni

No comments:

Post a Comment