.

.

Thursday, May 20, 2010

Jamani si nikapata Gonjwa!


Haaa ni Gonjwa la macho bwana wengi walikuwa wameshaanza kushtuka gonjwa gani?
Hivi mnaijua dawa ya gonjwa hili la Red Eyes ni maji ya majani ya chai, povu la sabuni au mkojo wako mwenyewe.

Jinsi ya kutumia:
Chukua kiasi cha majani ya chai changanya na maji kisha chemsha mpaka yabadirike na kuwa chai lakini usichuje. Baada ya kufanya hivyo yaache yapoe kidogo yabaki vuguvugu kisha nawia katikati ya macho kwenye mboni, nakupa siku tatu tu utaona matokeo.

Njia nyingine ni kuweka povu jingi katika macho husaidia pia.

Njia ya mwisho ni mkojo wako mwenyewe kama unaweza unachukua kiasi cha matone na kunyunyizia utapona mara moja.
Niliona niwafahamishe tiba hii kwani gonjwa hili limetanda sasa..mmesikia akina Nasra na Kambili? najua mmejibu kimoyomoyo hata kama sijawasikia

No comments:

Post a Comment