.

.

Wednesday, May 19, 2010

Wasomaji wa Tiba Asilia




Ndugu wasomaji wa Tiba Asilia, nimekuwa nikipata sms zenu na wengine mmekuwa mkinipigia mkitaka bidhaa zangu kifupi ni kwamba najiandaa kufungua duka eneo la magomeni kwa ajili ya kuwauzia bidhaa hizi lakini kwa sasa ukinitafuta naziuzia mikononi.

kwa wale wanaotembelea mtandao huu ukitaka kuperuzi zaidi angalia kulia kwako utakuta neno limeandikwa Natural Remedies hapo unaweza kupata Tip za tiba asilia, wengi wenu mmekuwa mkishindwa kutambua jinsi ya kuzisoma humu.

Msichoke jamani, wakati mwingine nashindwa kupokea simu kwasababu ya kubanwa na kazi lakini nawaheshimu sana na msiache kunisoma kwenye Amani na Risasi

No comments:

Post a Comment