.

.

Thursday, May 20, 2010

Mti unaotoa damu nchini India

Mti huu unajulikana kama ‘The Dragon’s Blood tree ni mti ambao unafananishwa na kundi la miti iliyopo katika visiwa vinne vilivyopo Bahari ya India. Mti huu unatoa juisi ambayo inaitwa Dragon’s Blood ambayo imekuwa ikitumiwa kama dawa ya magonjwa Mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuondoa mabaya, kumkinga mtu na kuongeza mapenzi.

Haya basi wanaotafuta limbwata kazi kwenu.

Jinsi ya kuutumia sasa ndo sijajua nitatafuta njia ya kuutumia nitawaandikia.



Huu ndo unga wa mti huu


No comments:

Post a Comment