
Sister doi nilikuwepo kama mpiga picha, aloo sherehe ilikuwa kabambe nami yangu inakujaaaaaa!!!

Hapa akikumbatiwa na dada yake

Madada walikuwa na sanduku kwa ajili ya mdogo wao

Madada,Mgeni na Jovita baada ya kutoa sanduku kwa mdogo wao

Hapa wakisasambua sanduku lao

Msasambuo unaendelea

Hapa ndo sanduku linafunguliwa

Hapo sanduku linaandaliwa na Dada yake Jovina

Jovita amewakumbatia ma lol wake waliokuwepo kumfuta jasho


Hapa ma lol wa Jovita wakimfuta jasho

Jose na mpambe wake baada ya kuserebuka sasa ni kufutwa jasho

Dada zake Jose, Jovita na Jovina wakiserebuka

Jose mwenyewe na wageni waalikwa na dada yake wakiserebuka

Mgeni Hassan naye alikuwepo akijiandaa kuchambua kama karanga kama Saida, na yeye ni wa huko huko kwetu..Kanyigoooo kwa akina Mpoki

Jose akichambua kama karanga, alikuwa anaona watu wanamchelewesha

Kuchambua kama karanga kunaendelea

Jovita naye alikuwa akijaribu kuchambua lakini baado, ntampa mafunzo siku moja

Jose akijiandaa kukata keki yake ambayo ilikuwa ni sufuria la ugari ukiwa kwenye mafiga

Keki iliwavutia wengi siku hiyo, unajua Bi Jose ameolewa na msukuma hivyo alitengenezewa keki yenye mfano wa sufuria la ugari ikiwa kama mafunzo ya chakula wanachopendelea huko alikoolewa

Hivi ni vyombo vilivyotolewa kwa ajili ya Jose
No comments:
Post a Comment