.

.

Saturday, May 1, 2010

Kitchen Paty ya Jose ndo hii kama harusi na nyie oleweni jamani ni raha

Sister doi nilikuwepo kama mpiga picha, aloo sherehe ilikuwa kabambe nami yangu inakujaaaaaa!!!
Hapa akikumbatiwa na dada yake
Madada walikuwa na sanduku kwa ajili ya mdogo wao
Madada,Mgeni na Jovita baada ya kutoa sanduku kwa mdogo wao
Hapa wakisasambua sanduku lao
Msasambuo unaendelea
Hapa ndo sanduku linafunguliwa
Hapo sanduku linaandaliwa na Dada yake Jovina
Jovita amewakumbatia ma lol wake waliokuwepo kumfuta jasho

Hapa ma lol wa Jovita wakimfuta jasho
Jose na mpambe wake baada ya kuserebuka sasa ni kufutwa jasho
Dada zake Jose, Jovita na Jovina wakiserebuka
Jose mwenyewe na wageni waalikwa na dada yake wakiserebuka
Mgeni Hassan naye alikuwepo akijiandaa kuchambua kama karanga kama Saida, na yeye ni wa huko huko kwetu..Kanyigoooo kwa akina Mpoki
Jose akichambua kama karanga, alikuwa anaona watu wanamchelewesha
Kuchambua kama karanga kunaendelea
Jovita naye alikuwa akijaribu kuchambua lakini baado, ntampa mafunzo siku moja
Jose akijiandaa kukata keki yake ambayo ilikuwa ni sufuria la ugari ukiwa kwenye mafiga
Keki iliwavutia wengi siku hiyo, unajua Bi Jose ameolewa na msukuma hivyo alitengenezewa keki yenye mfano wa sufuria la ugari ikiwa kama mafunzo ya chakula wanachopendelea huko alikoolewa
Hivi ni vyombo vilivyotolewa kwa ajili ya Jose

No comments:

Post a Comment