
Hapa amepiga picha na mheshimiwa waziri mkuu mstaafu

Akijiandaa kupeleka keki kwa wakwe zake

Akielekea kukata keki

Jose akiwa na mume wake na matroni wake

Jose na ndugu zake kama tunavyowaona walikuwa katika furaha ,lakini pia walipata majonzi kwa kumbukumbu ya wazazi wao waliotangulia mbele ya haki mungu awalaze pema peponi, kwani ilikuwa ni siku ambayo hakika wangefurahi kuona sherehe ya mtoto wao
No comments:
Post a Comment