.

.

Thursday, April 29, 2010

Send off ya Jose Njunwa

Hapa amepiga picha na mheshimiwa waziri mkuu mstaafu

Akijiandaa kupeleka keki kwa wakwe zake
Akielekea kukata keki


Jose akiwa na mume wake na matroni wake




Jose na ndugu zake kama tunavyowaona walikuwa katika furaha ,lakini pia walipata majonzi kwa kumbukumbu ya wazazi wao waliotangulia mbele ya haki mungu awalaze pema peponi, kwani ilikuwa ni siku ambayo hakika wangefurahi kuona sherehe ya mtoto wao



No comments:

Post a Comment