.

.

Friday, April 16, 2010

Haya ni matukio katika picha za arobaini

haridi naye alikuwepo aliyeshika simu yeye na mlo mbalimbali ndio maana kimbaula
Ona sasa kaka Musa kaweka na pozi kabisa na miwani si utowe kaka mlo huo
Kaka musa naye kwa msosi?
Dada Esta akijiandaa kutupatia maakuli
Dada zangu wapendwa Jose,Jovina na Jovita asanteni kwa ushirikiano wenu
Mtoto wangi Salma aliyeshika taka na Naa mdogo wangu mwenye nguo ya njano
wadogo zangu Lilu na Hasina wakipata mlo
Dada yangu mgeni kwa kupenda jikoni, lakini alituwezesha mungu ampe maisha marefu amina

hapa sister doi mwenyewe nikitoa huduma ya chakula
hapa nikiwa na dada yangu Esta mungu akubariki uendelee na moyo huo huo,mgeni alikatwa kiduchu zamu yake ilikuwa bado,hapo chini utamuona
Hapa napo nikiwa na dada yangu mgeni na rafiki yake kipenzi Esta na jirani yangu kaka yangu baba Abdul nashukuru sana yeye na mkwewe kwa kunipa moyo pamoja na familia nzima



Hawa ndio ndugu Jamaa na marafiki waliofika kwenye arobaini ya mpendwa baba yangu nawashukuru wote kuitika wito, kwa kufika nyumbani kwangu wakati mimi ni mdogo kwao,hakika walimuheshimu mpendwa baba nawashukuru sana.

No comments:

Post a Comment