.

.

Saturday, April 17, 2010

Baada ya shughuri zote Tukafunguliwa muziki na Mama kijacho tukajumuika wote

Hawa walikuwa wakibadirishana mawazo
Jack naye aliserebuka kiaina
Mama kijacho kafurahi huyo
muziki alicheza sana tukadhani atajifungua siku hiyo, jamani ilikuwa ni furaha
Mama kijacho akifungua muziki na Johari
Hawa wakanogewa muziki na kuoneshana miguu wakilingishiana nani zaidi
Fide akisaka lumba kwa madaha na kinywaji chake
Hapa umekolea kweli kila mtu na zake staili
Hapa mama kijacho wala hakumbuki nyumbani kwani ukumbini kulimtoshereza kwa kila kitu

No comments:

Post a Comment