.

.

Friday, April 16, 2010

Mambo ya Baby Shawa ilikuwa bomba na zawadi kibao

Baby shower ilipoanza tuliandaa maakuli kama kawa na kujiachia kila mtu na msosi wake chakula kilikuwa na mvuto thanks to kamati ya maandalizi
Hapa Lulu na kyalaa wakijisevia msosi
ma 'mc' wao waliamua kujilia hapo hapo mezani kwenye maakuli, ni Ant Ezekiel na Maya
Shamimu amenogewa na mnofu wa kuku kama mnavyomuona
Kumbe na Neema Chande naye alinogewa na nyama si mnamuona
Si akaona kamera akaamua kujificha huku cheko ikiwa imemkaba
Sister Doi mwenyewe nilimshtukia mpiga picha nikaweka pozi kidogo
Nice Chande naye alikuwa akipata mlo,nyama inapendwa jamani si mnamuona alivyoanza kukakata kila mtu anajua ni nyama
Hapa ndo tupo katika foleni ya maakuli
Mama kijacho Bi Imelda Mtema naye akipata msosi,hii shughuri ilikuwa ni ya kwake,
Sasa ni zamu ya pozi tukijiandaa kutoa zawadi
Shamsa Fody naye alikuwepo akipata msosi kama kawa
Mama kijacho akipimwa tumbo asijifungulie ukumbini
Tukijiandaa kwa shughuri kwani baada ya msosi kilichofuata ni zawadi na muziki

Mary na Mariam nao wakijisubiria 'Mc' atangaze kinachofuata

No comments:

Post a Comment