.

.

Friday, April 16, 2010

Baada ya msiba tukawa tunachangamshana na madogo

Sister Doi nikiwa katika pozi na picha nyingine zinafuata usiache kusoma maelezo mpaka chini















Faraji kama kawa!


Sister doi Nipo siriaz,Sifael upo?



Pozi la longtime sana

Hapa najaribu kuvaa miwani ya jua sijui wadau mnaonaje
sister doi nikiongea na mu..mh! was so happy that day
Amina katika pozi
Hassani katika pozi
Faraj akiwa katika pozi


hapa ni homu kwangu na wadogo zangu siku hiyo ilikuwa ni picha day tukijaribu kusahaurishana machungu huku tukimuombea mpendwa baba yetu tukapiga picha mbalimbali na wadogo zangu.
ilikuwa ni 4 funny hivi wao wakinielekeza mapozi lakini mi si kiivyo hizi ni fani za watu bwana.
kucheka unaruhusiwa karibu sana

No comments:

Post a Comment