.

.

Saturday, April 17, 2010

Baada ya baby shower kukawa na Birthday ya Kyalaa na Melisa

Melisa na Kyalaa walianza kupuliza mishumaa
Sister Doi nikawa wa kwanza kulishwa keki kwa jinsi wanavyonimind

Ant Ezekiel alikuwa Mc wa shughuri na ndiye aliwawashia mishumaa kama mnavyomuona

birthday nayo ilichangamsha tuliamua kufanya sherehe zote kwa mpigo kweli tulifurahi sana

No comments:

Post a Comment