
Melisa na Kyalaa walianza kupuliza mishumaa

Sister Doi nikawa wa kwanza kulishwa keki kwa jinsi wanavyonimind


Ant Ezekiel alikuwa Mc wa shughuri na ndiye aliwawashia mishumaa kama mnavyomuona

birthday nayo ilichangamsha tuliamua kufanya sherehe zote kwa mpigo kweli tulifurahi sana
No comments:
Post a Comment