.

.

Saturday, May 22, 2010

Jinsi ya kumbana mpenzi/mume kiwembe

Hii ndo zana yenyewe ukishamvalisha unaibana na kufuli.. hebu angalia mfano hapo chini, wabaneni jamani wapenzi na wanaume zenu, wengine tulichelewa kuzijua zana hizi si wamekimbia.

Mashost katika vazi la ufukweni

Jeans mpya wadau

Ni kwa wenzetu wazungu lakini najua zikiingia kwa watanzania wapenda makuu watavaa tu...

Thursday, May 20, 2010

Top Ten Love Stories in World- Hadith za mapenzi 10 bora

10. Guinevere and Lancelot

Guinevere and Lancelot, 14th Century, English, literary. Based on the Arthurian legend, the doomed love between the gallant knight and beautiful queen caused the downfall of the Round Table.

9 Dante Alighieri and Beatrice

Dante Alighieri and Beatrice, 13th Century, Italian, historical. The writer met his muse when they were children. She inspired his greatest works although the pair never married. Beatrice is Dante’s guide through Paradise in “The Divine Comedy” and was the inspiration for 31 love poems, “La Vita Nuova.”

8 Cinderella and Prince

Cinderella and Prince Charming, 17th Century, French, literary. Based on Eastern European legends, this archetype of romantic love sent the message to women that if you keep your eyes open, someday your prince will come.

7. Rhett Butler and Scarlett O’Hara

Rhett Butler and Scarlett O’Hara, 20th Century, American, literary. Their fiery romance set amid the Civil War showed the pitfalls of pride and selfishness. He really did give a damn, and so did she.


6. Tristan and Isolde

Tristan and Isolde, 12th Century, English, French, German, literary. Based on an ancient Celtic legend as stubborn as the intertwined vines that grew over the lovers’ graves, the story of the knight who gave up his true love for a king has been told in many forms. Despite duty and other marriages, the lovers remain true to each other, and are reunited in death.


5 Robert and Elizabeth Barrett Browning

Robert and Elizabeth Barrett Browning, 19th Century, English, historical. Pale little Elizabeth bucked her dogmatic family and married a fellow poet. They spent their life in Italy amid sunshine and poetry, inspiring her to write a masterpiece, “Sonnets from the Portugese.”



4 Kermit and Miss Piggy

Kermit and Miss Piggy, 20th Century, American, cultural. She hogs the limelight every chance she gets, but her love springs eternal for her froggy beau. His disinterest and the cross-species problem are no deterrents to this determined pig. 3.Shah Jahan and Arjumand Bann Begum

Shah Jahan and Arjumand Bann Begum, 17th Century, Indian, historical. Consumed with sorrow when his beloved wife died at age 39 giving birth to their 14th child, he commissioned the Taj Mahal to be built in her memory. His son later imprisoned him and he spent the rest of his life staring out the window of his room at the Taj, pining for Arjumand.

2.Peter Abelard


Peter Abelard and Heloise, 12th Century, French, historical. Theologian and lecturer Abelard was 17-year-old Heloise’s teacher. They secretly married, but her uncle found out and had him castrated. Too late — she had a son. Separated by their families and the church, she entered a convent, he became a monk, and their love letters still exist. They are buried together in Paris.

1.Romeo and Juliet

Romeo and Juliet, 16th Century, English, literary. Star-crossed lovers immortalized in Shakespeare’s 1596 play. With Romeo dead, Juliet takes her own life rather than live without her young husband.

Mti unaotoa damu nchini India

Mti huu unajulikana kama ‘The Dragon’s Blood tree ni mti ambao unafananishwa na kundi la miti iliyopo katika visiwa vinne vilivyopo Bahari ya India. Mti huu unatoa juisi ambayo inaitwa Dragon’s Blood ambayo imekuwa ikitumiwa kama dawa ya magonjwa Mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuondoa mabaya, kumkinga mtu na kuongeza mapenzi.

Haya basi wanaotafuta limbwata kazi kwenu.

Jinsi ya kuutumia sasa ndo sijajua nitatafuta njia ya kuutumia nitawaandikia.



Huu ndo unga wa mti huu


Jamani si nikapata Gonjwa!


Haaa ni Gonjwa la macho bwana wengi walikuwa wameshaanza kushtuka gonjwa gani?
Hivi mnaijua dawa ya gonjwa hili la Red Eyes ni maji ya majani ya chai, povu la sabuni au mkojo wako mwenyewe.

Jinsi ya kutumia:
Chukua kiasi cha majani ya chai changanya na maji kisha chemsha mpaka yabadirike na kuwa chai lakini usichuje. Baada ya kufanya hivyo yaache yapoe kidogo yabaki vuguvugu kisha nawia katikati ya macho kwenye mboni, nakupa siku tatu tu utaona matokeo.

Njia nyingine ni kuweka povu jingi katika macho husaidia pia.

Njia ya mwisho ni mkojo wako mwenyewe kama unaweza unachukua kiasi cha matone na kunyunyizia utapona mara moja.
Niliona niwafahamishe tiba hii kwani gonjwa hili limetanda sasa..mmesikia akina Nasra na Kambili? najua mmejibu kimoyomoyo hata kama sijawasikia

Wednesday, May 19, 2010

Cute Baby I hope 2 get very soon, God Bless Me!

Msichoke nawaletea vipande vipande tu mpaka itatimia

Hii ni video nyingine ya Marichoy na Migel inasisimua

Hii ni video nyingine ya Marichoy na Migel inasisimua

Tunaendelea kuichambua Tamthilia ya Dont mess with an Angel

Alipozaliwa Maria De Jesus, ‘Marichuy’, mama yake, Cecilia Velarde, aliamini kuwa mwanaye angefariki, akampeleka mtoto wake kwa mchungaji,aliyekuwa akiitwa Padre Anselmo, ambaye alimpeleka kwa watu wasiojiweza. Akiwa na miaka 15, Marichuy akatoroka na kukimbilia mtaani ambako alikwenda kuishi, huko alikuwa akifanya kila linalowezekana ili mradi tu aishi.

Miaka ikapita akiwa huko mtaani, siku moja akavamiwa na mlevi. Baada ya hapo akawa anapata ndoto mbaya na kujikuta akiwachukia wanaume.

Candelaria, mwanamke mmoja ambaye kazi yake ni Udobi anampa ofa ya kukaa nyumbani kwake na kumchukulia Marichury kama mtoto wake. Marichuy anafanikiwa kupata kazi nzuri na kumsaidia Candelaria.

Siku moja, Marichuy anasababisha fujo na kupelekwa mahakamani ambapo anakwenda kukutana na Jaji ambaye ni baba yake wa Damu, (Ingawa hakuna kati yao ambaye aliujua ukweli), baba huyo akataka kumpeleka Jela.

Kwa upande mwingine Juan Miguel San Roman, ambaye alifanikiwa kuokoka katika ajali ya ndege , hakuwa akimpenda mke wake Viviana, anaamini kuwa Marichuy ni msichana asiyekuwa na tatizo.

Hata hivyo Viviana anakuwa mzima anaamua kuishi maisha ya starehe bila kuifahamisha familia yake kuwa yuko hai.

Marichuy anasaidiwa na mwanasaikolojia ambaye ni Juan Miguel San Roman, ambaye anataka kuona mazuri kwa Marichuy.

Marichuy anaachiwa huru kwa dhamana ya Juan Miguel na akapanga mpango wa kuishi naye nyumbani kwake pamoja na mtoto wake, Mayita, mama mkwe wake, Onelia, na dada yake ,Rosio.

Wakati Marichuy akiwa kwenye nyumba ya Migel wakajikuta wamekuwa wapenzi. Lakini Juan Miguel anaamua kumpeleka Marichuy kwenye nyumba ya Velarde ili kulikuza penzi lao.

Estefania yeye anamchukia Marichuy kwasababu yeye pia anampenda Juan Miguel. Estefania na shangazi yake, Isabella, wanagundua kuwa Marichuy ni mtoto wa Velardes, wanamfanyia mbaya Marichuy na kumfanya aonekane mwizi ambaye alimuibia Velardes.

Cecilia anawaonya Estefania na Marichuy. Hata hivyo Estefania anafanikiwa kuanzisha uhusiano na Juan Miguel, kitendo kinachomtia wivu Marichuy.

Baada ya Patricio kuupata uongo wa Marichuy na tabia zake, Marichuy anaamua kumwambia Juan Miguel kwamba anataka kuishi na yeye, kwasababu hataki kukaa na Velardes.

Juan Miguel anakubari maombi ya Marichuy na kumchukua wakaishi pamoja.. je watu hawa watakuwa mke na mume?

Juan Miguel anagundua kuwa yeye ndio alimvamia Marichuy alipokuwa mdogo lakini Marichuy anashindwa kutambua ni jinsi gani ilitokea. Pale Juan Miguel alipoanza kumuepuka akihisi makosa yake na huenda Marichuy akamgundua, Marichury akaanza kudhani huenda Juan Miguel anamchukia, ambapo alimua kuwambia kuwa anampenda.

Juan Miguel anapanga mpango wa kumuoa.. Lakini anashindwa atafanyaje kwani tatizo ni lile alilowahi kufamfanyia alipokuwa mdogo.

Padre Anselmo na Eduardo (rafiki wa kuaminika wa Juan Miguel ) wanamuonya Juan Miguel amwambie kumwambia marichuy kabla hajamuoa kuwa yeye ndio aliyemvamia wakati akiwa mtoto lakini Miguel akahofia huenda akaharibu mapenzi yao Marichuy.

Wakaamua kufunga ndoa na kwenda kwenye fungate la maana.

Asubuhi Marichuy anapoamka anaamkia kwenye ndoto akiwa amegundua kuwa mbakaji wake ni Juan Miguel.


Miguel akamuomba msamaha kwa kitendo kile lakini hakukubari kutoa msamaha na kuamua kurudi kuishi na Candelaria.

Siku chache baada ya tukio, Juan Miguel anatembelea chama kimoja na huko anagundua mgonjwa mwingine. Kwa wasiwasi mkumbwa, akamuona mke wake ambaye alitakiwa kuwa mfu. Kwa wakati huo,akachukua jukumu la kujua kilichotokea kwa mkewe na kumsaidia kurudi katika hali yake ya kawaida.

Je itakuwaje kwa Marichuy atamsamehe Miguel au atamrudua mke wake…Hii ni

Intro ya Tamthilia muendelezo kamili Utaanza wiki ijayo…

Harufu zinazosaidia kuwa na kumbukumbu, nguvu na mood nzuri ni kama zifuatazo:


Harufu za matunda ya aina mbalimbali yapatayo tisa husaidia kuimarisha afya yako ikiwa ni pamoja na kukufanya ujisikie vizuri, leo nitaongelea harufu tatu kwa kuanzia ambazo ni tiba tosha kwa hayo niliyoyataja hapo juu
Harufu ya Tofaa la kijani ‘Green Apple’
Harufu ya tunda hili inaweza kukusaidia kupata hisia za kimapenzi na kukuweka katika hali ya furaha wakati wote, harufu hii imethibitishwa na Alan Hirsch, mkurugenzi wa utafiti wa harufu na ladha wa huko Chicago.
Mtafiti huyo anayataja matunda mengine kuwa ni banana, na piripiri manga.


***
Vuta harufu: ya chenza au Mrujuani
Kwa wenzetu waaustria, wamejifunza kuvuta harufu ya chenza kabla ya kufanya chochote na vile vile mrujuani kabla ya kufanya chochote..
Harufu hizi huwasaidia kuondoa wasiwasi pamoja kuwatuliza kama wako katika hali mbaya ya mwili kama woga na kutojisikia huru.
Jaribu kufanya hivi: Chukua kiasi kidogo cha tone la mafuta ya mrujuani paka usoni na pakaa wakati unaenda kazini kwa wale wanaofanya kazi itaondoa ‘stress’ zote na utaishi kwa amani.
Wiki ijayo nitaelezea harufu nyingine nzuri zinazoweza kuimarisha afya yako.
Harufu nyingine nzuri ni Chokolate, hii husaidia kuleta hisia za mapenzi, jamani vitu hivi watu wanavidharau lakini vina ukweli emu jaribuni muone... ni taaaaaaaaamu. harufu sasa usiseme inasisimua

Wasomaji wa Tiba Asilia




Ndugu wasomaji wa Tiba Asilia, nimekuwa nikipata sms zenu na wengine mmekuwa mkinipigia mkitaka bidhaa zangu kifupi ni kwamba najiandaa kufungua duka eneo la magomeni kwa ajili ya kuwauzia bidhaa hizi lakini kwa sasa ukinitafuta naziuzia mikononi.

kwa wale wanaotembelea mtandao huu ukitaka kuperuzi zaidi angalia kulia kwako utakuta neno limeandikwa Natural Remedies hapo unaweza kupata Tip za tiba asilia, wengi wenu mmekuwa mkishindwa kutambua jinsi ya kuzisoma humu.

Msichoke jamani, wakati mwingine nashindwa kupokea simu kwasababu ya kubanwa na kazi lakini nawaheshimu sana na msiache kunisoma kwenye Amani na Risasi

Jamani wanaburudika na slow Jam


Raha kweli ukipata rafiki mnayepatana, hawa wameamua kupata kiburudisho cha nyimbo, sijui ni nyimbo gani jamani nawatamani...

Jamani mbinu za biashara ni nyingi lol



Mwenye Supermarket kabuni mbinu yake ya kumletea wateja kama hivi anastahili sifa jamani, pesa zinatafutwa kwa tabu.

Thursday, May 6, 2010

Asha Baraka na Sister Doi wakiteta jambo

Jamani kijacho kaja, anaitwa Precious

Imelda alikuwa mama Kijacho sasa, anaitwa mama Precious si mnamuona jamani
Precious na mama yake katika pozi,lakini amesinzia jamani
wakaamua kutoa pozi la kusimama
kama kawa mama p, Katoa mimachoo...
Si namimi Sister Doi 'nikaplactize' kwani nami niko mbioni namuomba mungu jamani
Hope Siku moja nami nita 'own' kama huyuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Wanachama nyumbani kwa Natasha

Mariam na Devotha baada ya kupata mlo
Katibu bi Angel akiwa ameshikilia pesa kwa ajili ya kukusanya kuwakabidhi Monalisa na Natasha
Mwekahazina au mhasibu mama Dotnatha akiweka kumbukumbu kwenye daftari
Mamaa Devotha akijiandaa kupakua mlo hapo nyumbani kwa Natasha
Hapa ndo keshafunua sasa kwa ajili ya kujisevia
Hapa keshapata mlo tayari kapumzika kwa raha zake
Sister Doi na Natasha wakipiga gumzo baada ya mlo
Hapa kuna mtu katuchekesha ndio maana meno nje
Da Jen katika pozi badaa ya kupata mlo, siku hiyo ilikuwa ni siku ya kujichana
Mamaa Loraa naye alikuwepo kwa Natasha kama mwanachama na mshauri katika chama
Mona na Eva wa Dude wakiwa katika pozi
Hapa na Dude aliamua kuingia katika picha ya pamoja
Baada ya kubadirishana ya hapa na pale na mlo, vikaletwa vipodozi juu ya meza
Mona alishtukia namfotoa si akanigeukia kwani alikuwa akijiandaa kununua vipodozi.