.

.

Saturday, November 7, 2009

Wiki ya shwahili hood ilifanya kama ifuatavyo

Mustafa Hassanali katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wanamitindo kutoka nchini Kenya.
Mr. Dar Handsome 2007-08, Mwinyi Ahmed, akiwa juu ya jukwaa kuonyesha moja ya vazi katika ukumbi huo.
Richa Adhia, Miss Tanzani 2007-08, akiwa jukwaani tayari kuonyesha vazi alililokuwa amevaa katika maonyesho hayo.
Miss Tanzania 2008-09, Nasreen Karimu, akikatiza jukwaani kuonyesha baadhi ya mavazi.
Mwanamitindo Miriam Odemba (kulia), akiwa kwenye pozi la pamoja na Killy Janga, Miss Utalii 2006-07, muda mfupi baada ya kuwasili kwenye tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment