
Hapa nikimlisha keki pacha wangu Hamidu ambaye tulizaliwa siku moja mungu ampe umri mrefu amina

Hapa ndipo nilikuwa nikiwalisha keki wafanyakazi wenzangu ambao niliamini wananipenda na kuniheshimu hakika nawaheshimu na kuwapenda pia...mungu atupe subra kwa kila jambo ili tufike mbali















Kisaprize kilikuwa kabambe hakika tuliinjoy ingawa nilikuwa na majonzi.
No comments:
Post a Comment