.

.

Saturday, October 3, 2009

Hiki ndio chumba chako!


Siku moja asubuhi kabla haujaenda kazini unaamua kuingia kwenye stoo yako unapigwa butwaa baada ya kukuta mabunda ya pesa kama picha hii inavyoonesha.
ukiwa mwenye furaha unaenda kazini na kumfahamisha bosi wako kuwa unaamua kuacha kazi kwasababu kuna kitu umeona kwenye stoo yako,kwasababu alikuwa akikutegemea kwa ufanisi wako kazini anakuomba uendelee na kazi.je utakubali?

No comments:

Post a Comment