.

.

Tuesday, December 1, 2009

Shangazi Janath alipoolewa na mumewe Ali

Shangazi naye akijiandaa kupokea keki ya mumewe Ali
Shangazi akijiandaa kumlisha mumewe Ali Keki
Hapa wako Tayari kukata Keki na kulishana
Wakijiandaa kukata Keki
Wakirudi ukumbini baada ya kubadiri nguo,hakika walipendeza
Janath na mumewe wakienda kubadiri nguo kwa ajiri ya kuja kusherehekea na ndugu na jamaa

No comments:

Post a Comment