.

.

Saturday, September 19, 2009

God gives us a lot of graces






God has given us a lot of graces, but we forget all. The small child gives us a lot to think of us.

Friday, September 18, 2009

Thursday, September 17, 2009

mambo ya massage


massage si kwa wanadamu tu hata wanyama nao wamo.

Natural shampoo


Kwanini uangaike kwenda saruni madukani wakati unangombe wako nyumbani anatoa vitu natural

Kiboko si mchezo


Waliokataza wanafunzi kupigwa viboko waliona mbali,sasa ona huyu makalio yameyeyuka kwa kuchapwa bakola.

Teamwork mwana


Baada ya kuzidiwa na njaa wanaamua kusaidiana kutafuta chakula

Mungu na maajabu yake


huyu ana sikio mkononi,haijawahi tokea

Si kwenye siasa tu


Mzee Obama hata kwenye michezo yumo,nzuri zaidi First lady ahachwi nyuma

Aamua kujiajiri mwenyewe


Kazi bwana si mpaka utafutiwe eneo la kufanyia,kuliko kuiba bora utafute ubaraza na kidressing table cha aina mambo yanakwenda unajipatia ulaji.Yanini uchomwe moto.

Tuesday, September 15, 2009

Huu ndio mwisho wa wapendanao Amina na mpakanjia





ENZI ZA MAISHA YA
UPENDO YA AMINA NA
MEDDY MPAKANJIA

Maisha ya
m a r e h e m u
A m i n a
Chifupa na
M o h a m e d
Mkapanjia a.k.a Meddy
yalikuwa ya upendo
wa dhati ndiyo maana
watu wengi walikuwa
wakiyatafsiri kuwa ni ya
kutegemeana. Kupendana
kwao huko kumezua
minong’ono kwa watu
mbalimbali wakidai huenda
mkewe amemchukua.
Hata hivyo, inabaki kuwa
kazi ya Mungu haina
makosa.
Historia yao kwa ufupi:
Amina alizaliwa 1981-2007
alikufa akiwa na miaka (26)
Meddy alizaliwa mwaka
1972-2009 amekufa akiwa
na miaka (37)
Historia ya ndoa yao:
Walioana mwaka 2001
Amina akiwa ni mjamzito
wa miezi saba.
Walijaaliwa kupata mtoto
wao wa kwanza Rahman
‘Ramanino’ mwaka 2002.
Baada ya hapo mapenzi
yao yalikuwa motomoto
walikuwa wanandoa
waliofuatana kila kona hasa
kwenye kumbi za starehe.
Amina alikuwa ni
mshereheshaji wa shughuli
‘MC’ na pale alipokuwa
akiwajibika mume wake
alikuwa pembeni yake,
hakika walipendana na
ndiyo maana baada ya kifo
cha Amina Chifupa afya ya
Mpakanjia ilianza kuwa tete
kwani alianza kuandamwa
na msongo wa mawazo na
maradhi kadhaa kutokana
na upweke wa kuondokewa
na kipenzi chake.
Amina na Mpakanjia wote
walifia katika Hospitali
ya Jeshi ya Lugalo baada
ya kulazwa kwa muda
mchache huku Meddy
akidaiwa kufa kwa Homa
ya matumbo ‘Typhoid’
na Amina arifariki kwa
matatizo ya msongo wa
mawazo.
Mwisho naweza kusema
kuwa maisha yao yalikuwa
ya upendo na wamemuacha
mtoto wao Rahmanino
katika hali ya uzuni. Mungu
awalaze pema peponi.
Amini.
***
MEDDY MPAKANJIA:
ILIKUWA LAZIMA AFE
Mohamed Mpakanjia
a.k.a Meddy Mpakanjia,
inaonekana ilikuwa lazima
afe kutokana na ‘midomo’
ya watu ambapo tangu kifo
cha mkewe, Amina wamekuwa wakisema
hata yeye asingeishi sana.
Mbali na uchuro huo, taarifa za uvumi
wa kifo chake zilizokuwa zikienezwa kwa
njia ya mitandao na vyombo vya habari,
ilikuwa ikitikisa uhai wake kwa muda
mrefu.
Kwa mara ya kwanza, Mpakanjia
alizushiwa kifo mwezi Agosti mwaka
2007 baada ya kuugua na kulazwa katika
Hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi
Tanzania (JWTZ) Lugalo, kisha vyombo
vya habari vikaripoti kuwa alikuwa
ameaga dunia.
Tangu kipindi hicho, Mpakanjia alikuwa
akidai kushindwa kuzuia hisia zake za
kumpenda mkewe aliyemuacha wakiwa
bado wana pendo la dhati na kusababisha
kuzibandua picha zote za Amina
zilizokuwa ukutani mwa nyumba yake
kwa lengo la kupoteza kumbukumbu.
Wachunguzi wa masuala ya saikolojia
walisema kuwa, Mpakanjia aliathirika
kisaikoloji na kujikuta anakuwa na
msongo wa mawazo kutokana na kuishi
akiwa mpweke. Aidha, wataalam wa
maisha wanadai kuwa, mara nyingi mke
akitangulia kufa, mume naye haishi miaka mingi

Saturday, September 12, 2009

Mimi na mwanangu mzuri tunapendana hao



My baby Jorii, au mzuri upendavyo wewe kumuita.
I love her so much.
namuomba mungu anikuzie...

Friday, September 11, 2009

Mwana hufuata nyayo za wazazi!




Mambo haya bwana huanzia utotoni, unaweza kukaa ukajiuliza hivi mwanangu mtundu kumbe kile unachofanya mzazi naye anajifunza toka mdogo, kwa wenzetu wazungu hapa ndio mwanya wa kumjua mtoto ana kipaji gani na kumfatilia kwa karibu kwa sisi watanzania hatuna muda na watoto wetu kwa baadhi ya wazazi..ndio maana mwisho wao wengine huishia pabaya lakini endapo mtoto utajua ana kipaji gani na kumuendeleza aisee utashangaa..
wazazi jaribuni kukaa na watoto mtajua tu na kuwajengea maisha bora kwa kufata hisia na muelekeo wao tokea uchanga wao.

Gaga na ujio mpya wa miwani




Huyu ni Lady Gaga supastaa anayeogoza kwa kuvaa vichupi..
Hapa anaonekana katika sura mpya baada ya kubadiri miwani.Hii ni kwasababu miwani yake iliyokuwa ikimpatia umaarufu kuibiwa katika shoo moja aliyoenda kufanya huko London mapema mwaka huu.

EXCLUSIVE: Edna katika harakati za kuendesha mkoko


Mtoto alipotua nchi Fulani kuchukua mkoko wake, si mchezo alianza kwa kuendesha bajaji Huyu taratibu kavuta mkoko wa kikubwa.. kifupi namheshimu sijui mimi ntaanza na nini wakati hata mkokoteni mbinde kazii hiyooo ujue...

Halle Berry mvuto mpaka ujauzitoni


Hapa akitoka kwenda Clinic kwakeli anatamanisha..


Wengine wakibeba shepu huyeyuka yeye ndo kwanza kijungu kinafumuka...

Hii ni kufuru





Jamani hii si ni kufuru kwa watanzania ukifanya pati hii kabla hujapata mtoto wenye imani zao husema ya kwao lakini kwa wenzetu ni vitu vya kawaida na mungu huwanyooshea maisha na kuwa kama yalivyopangwa.
Hapa mwanadada Kendra ameandaliwa pati wenyewe wanaiita 'Baby Shower paty' hii ni pati kabla ya kujifungua ambayo waliyoilenga ni kukusanya vitu vya mtoto bila kuacha hata nukta kwa maana hiyo ni mazagazaga kibao...
Tanzania huenda ikaingia hii, je wataichukulia vip? mimi na wewe hatujui lakini wengi utasikia si kufuru hii wenye imani zao sasa..
mimi nimeipenda hiyo huenda nikamfanyia Roby Chacha ambaye anatarajia kupata kibebi siku za usoni..Nakuombea rafiki yangu ujifungue salama.







Thursday, September 10, 2009






Hizi ni baadhi ya picha zinazosababisha wewe utabasamu...
kama hapo bi mkubwa anajipikilisha sijui nani atakula mimi na wewe hatujui tuendelee kufurahi.

Naye Hakimu nyani akitafakali jambo.

wa kwanza kabisa yeye ni kufurahi tu na muziki emu pata mambo...

have a funny pics

Friday, September 4, 2009

Unene kazi


Ukiona mzee kafikia hali hii kama ni mama anza kulia ama la fungasha vilago kwani shughuli yake ni pevu mwanawani!

Hii sasa ni kufuru! ndoa ya mbwa


Therapy dogs to bark their vows at wedding
After years of friendship and service, two Tampa General Hospital volunteers are getting hitched -- for better or worse.
The blushing bride: a female Chihuahua named Chicklet.
Her betrothed: an American Lab named Blake.
It's the hospital's first therapy dog wedding.
TGH spokeswoman Ellen Fiss said there's no real reason for it — no fundraising push, no ad campaign — it's just for fun.
It is June, after all. "June is wedding month," Fiss said.
The ceremony will be Thursday in the hospital's child life playroom. A TGH employee with a notary license will officiate, with pediatric patients blowing bubbles to send off the couple, reports the St. Petersburg Times.
Two other therapy dogs, golden retrievers Samantha and Simba, will be "bridedogs," and greyhound Blaze will stand by Blake as "best dog."
No word yet about where the couple is registered, though one gift already has been promised —a canine-friendly ice cream cake made by a hospital employee.

sijui ni yeye


Ni Bush mdogo wake?

maziwa haya noma


wengi huiga wakidai kuwa wanakwenda na wakati na wewe iga lakini ukweli unabaki pale kuwa kuiga kwingi mwisho wake sio,kwa hili ni noma.
wagosha wengi wanadai kuwa kwa mwenye maziwa haya starehe ni siku moja moja tu je we unaonaje?